Monday, March 19, 2012

HOOOOOT NEWS



MAUAJI SONGEA YAMTIBULIA DIAMOND

Naseeb Abdul.
Na Herrsson Dawsson
TUKIO la vita na mauaji lilitokea wiki kadhaa zilizopita pande za Songea mkoani Ruvuma, limemtibulia ‘kichaa’ wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul na kushindwa kufanya shoo pande hizo.
Akizungumza na Ijumaa baada ya kurejea jijini Dar es Salaam juzikati, akitokea mkoani humo, Diamond alisema alichukuliwa na promota aliyemtaja kwa jina moja la Eddo kwa ajili ya kwenda kufanya shoo katika Ukumbi wa Jambo Lee, Songea mjini, lakini ilishindikana kutokana na taarifa ya polisi kuwa hakuhitajiki mkusanyiko pande hizo.
“Nilifikia hotelini na kikosi changu cha kazi, niliambiwa maandalizi yamekamilika na tayari watu 800 walishakata tiketi, muda wa shoo ulipofika nilishangaa sipigiwi simu, ndipo nilimtafuta mhusika akaniambia imeshindikana kwa sababu za kiusalama ‘so’ nikapewa Sh. milioni moja nikarudi Dar na bado nadai Sh. milioni mbili.
“Kilichosababisha yote hayo ni mauaji yaliyotokea siku za nyuma na vita kati ya polisi na raia, lakini mashabiki wangu wasijali waendelee kunipigia kura ili nishinde Tuzo za Kili kwa kutuma neno Kili B1, Kili C2, Kili F3, Kili R1, Kili U1, Kili V3, Kili V4 kwenda namba 15747,” alisema Diamond.


Monday, March 19, 2012


HAPPY BIRTHDAY BONGO MOVIE CLUB

 Bongo Movie club yafanya party kubwa ya kutimizwa mwaka mmoja tangu ianzishwe iliyofanyika katika viwanja vya Bussiness iliopo maeneo ya Victoria. Ni vigumu sana kwa wasanii Tanzania kuanzisha kitu chenye umoja na kufikisha mwaka mmoja kwa kweli Bongo Movie club wanastahili sifa kubwa sana. maana kiuhalisia sisi wasanii bongo tuna matatizo sana atuna umoja wala upendo wa dhati toka katika mioyo yetu zaidi ya kuchekeana kichina tu lakini tunaamini kwa nguvu za Mungu wa imani tutabadilika na kuwa wenye upendo wa dhati.
 Viongozi wa Bongo Movie club wakipata picha ya pamoja The Greatest kati Richie Richie na Hartman Mbilinyi vijana wamendeza na suti zao za ukweli.

 Kama kawa mambo yakiwa yanazidi kunoga

 Wazee wa kale hao Mzee Korongo akiwa pamoja na mzee Mbembe kushoto party ilipendeza sana jamani

 Mnakumbuka jamani Bi Kidide enzi za Koale kukundi kilichotoa mastaa wengi mnaowaona sasa wakitesa katika tasnia za filamu 

 Wema Sepetu ndani ya Red Capet akipata interview toka kwa mtangazaji wa Staar tv Dada yetu Sauda Mwilima

 Wema na Ray

 Tino na Sandra

 Viongozi wakiteta jambo

 Wageni waliodhuria sherehe ya Bongo Movie club ya kutimiza mwaka mmoja

 Maya na Recheal picha ya kumbukumbu

 Wema sepetu na rafiki yake

 Johari na Uwoya

 Mwanamuziki wa kizazi kipya Sheta wa kati naye alikuwepo

 Steve Nyerere wa katikati pamoja Iddi aka( Mchongo) wa kulia

 Wolper na Odama kulia

 Amani kwenu warembo wa Bongo Movie club

 Rizi One Kikwete mtoto wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania akifungua rasmi party kwa kuwasha mishumaa kwenye keki rasmi iliyoandaliwa kwa siku hiyo
 Mwenyekiti wa Bongo Movie club JB akiweka mambo sawa katika upande wa keki

Keki yanye mfano wa Camera yani ikiashiria ndio kitendea kazi kukibwa sana katika upande wa kazi zetu, Bongo Movie club 2012 nitwaletea matukio mengine yaliyojiri mambo bado sana kulikuwa na burudani za kutosha

Wednesday, March 14, 2012


KONFA BUSINESS LODGE OPENING SOON

 Haya wadau wa town kuna kitu kipya kinakuja kuteka na kukamata jiji katika upande mzima wa sehemu ya  kupumzika kuna sehemu mpya inaitwa KONFA BUSINESS LODGE ni sehemu nzuri sana iko mitaa ya Mbezi Beach kwa maelekezo zaidi nitawafahamisha vizuri na inategemewa kufunguliwa wiki mbili zijazo ni sehemu nzuri sana na bei zao ni poa sana  karibuni sana
 Cheki geti ilo lakisasa kabisa wewe mwenyewe sema mimi sisemi

 RECEPTION

 Maandalizi yanaendeleaaa

 Chumba cha kulala

 Bafu, ni hatari sana jamani duhuuuuu



 Urembo wa kutosha ndani ya BUSINESS LODGE

 Simu ya chumbani ukitaka uduma

 Jamani hapa ni bongo wala si ulaya kila kitu sasa hivi kinapatikana bongo 

 Tv ya kuangalia baada mihangaiko ya mchana kutwa

 Mandhari ni nzuri sana jamani 

 The Greatest nikikagua baadhi ya maeneo

 Mambo yakiendelea

 Kiooo

 KONFA BUSINESS LODGE

 Kwa juu panavyoonekana

 Sehemu ya kupumzika ukiwa na mwenza wako

 KONFA BUSINESS LODGE

 Kiti cha massage

 Chumba cha nguvu

 Koridoni

 Geti

 Urembo wa kutosha maeneo ya BUSINESS LODGE

 WELCOME

 Bar

 Kwa nje panavyoonekana

 Mazingira safi sana

 Sehemu ya kupata moja baridi moja moto

Mzani wa kupima uzito baada ya kutoka msalani

Monday, March 12, 2012


PRINCIPLES NA SOBBING SOUND

 Wadau najua mmenituma kijana wenu mjini kuja kufanya kazi na si maneno mengi nami natekeleza maagizo yenu picha hizi nimepiga kwa ajili ya macover yangu mawili kwa ajili ya cinema zangu mbili kali zinazokuja nadhani itaanza Sobbing Sound imeshilikisha mastaa kibao wakali nitwaletea matukio ya mzigo huo ni hatari tupu
 Picha ya pamoja mimi na Uwoya huu sasa ni mzigo wa Sobbing Sound tumeunguluma pamoja humo ndani pata picha mwenyewe itakuwaje si ni hatari
 Lulu huu sasa ni mzigo wa Principles of Woman

 Pozi kama kawaida ya Lulu

 The Greatest na Uwoya

 Kissssssss

 Mtoto kakua jamani akiwa na Baba yake

 Hatari sana ndani ya Principles of Woman


 The Greatest

 Kijana kazini

 Handsome Boy




No comments:

Post a Comment