Monday, March 19, 2012

HOOOOOT NEWS



MAUAJI SONGEA YAMTIBULIA DIAMOND

Naseeb Abdul.
Na Herrsson Dawsson
TUKIO la vita na mauaji lilitokea wiki kadhaa zilizopita pande za Songea mkoani Ruvuma, limemtibulia ‘kichaa’ wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul na kushindwa kufanya shoo pande hizo.
Akizungumza na Ijumaa baada ya kurejea jijini Dar es Salaam juzikati, akitokea mkoani humo, Diamond alisema alichukuliwa na promota aliyemtaja kwa jina moja la Eddo kwa ajili ya kwenda kufanya shoo katika Ukumbi wa Jambo Lee, Songea mjini, lakini ilishindikana kutokana na taarifa ya polisi kuwa hakuhitajiki mkusanyiko pande hizo.
“Nilifikia hotelini na kikosi changu cha kazi, niliambiwa maandalizi yamekamilika na tayari watu 800 walishakata tiketi, muda wa shoo ulipofika nilishangaa sipigiwi simu, ndipo nilimtafuta mhusika akaniambia imeshindikana kwa sababu za kiusalama ‘so’ nikapewa Sh. milioni moja nikarudi Dar na bado nadai Sh. milioni mbili.
“Kilichosababisha yote hayo ni mauaji yaliyotokea siku za nyuma na vita kati ya polisi na raia, lakini mashabiki wangu wasijali waendelee kunipigia kura ili nishinde Tuzo za Kili kwa kutuma neno Kili B1, Kili C2, Kili F3, Kili R1, Kili U1, Kili V3, Kili V4 kwenda namba 15747,” alisema Diamond.


Monday, March 19, 2012


HAPPY BIRTHDAY BONGO MOVIE CLUB

 Bongo Movie club yafanya party kubwa ya kutimizwa mwaka mmoja tangu ianzishwe iliyofanyika katika viwanja vya Bussiness iliopo maeneo ya Victoria. Ni vigumu sana kwa wasanii Tanzania kuanzisha kitu chenye umoja na kufikisha mwaka mmoja kwa kweli Bongo Movie club wanastahili sifa kubwa sana. maana kiuhalisia sisi wasanii bongo tuna matatizo sana atuna umoja wala upendo wa dhati toka katika mioyo yetu zaidi ya kuchekeana kichina tu lakini tunaamini kwa nguvu za Mungu wa imani tutabadilika na kuwa wenye upendo wa dhati.
 Viongozi wa Bongo Movie club wakipata picha ya pamoja The Greatest kati Richie Richie na Hartman Mbilinyi vijana wamendeza na suti zao za ukweli.

 Kama kawa mambo yakiwa yanazidi kunoga

 Wazee wa kale hao Mzee Korongo akiwa pamoja na mzee Mbembe kushoto party ilipendeza sana jamani

 Mnakumbuka jamani Bi Kidide enzi za Koale kukundi kilichotoa mastaa wengi mnaowaona sasa wakitesa katika tasnia za filamu 

 Wema Sepetu ndani ya Red Capet akipata interview toka kwa mtangazaji wa Staar tv Dada yetu Sauda Mwilima

 Wema na Ray

 Tino na Sandra

 Viongozi wakiteta jambo

 Wageni waliodhuria sherehe ya Bongo Movie club ya kutimiza mwaka mmoja

 Maya na Recheal picha ya kumbukumbu

 Wema sepetu na rafiki yake

 Johari na Uwoya

 Mwanamuziki wa kizazi kipya Sheta wa kati naye alikuwepo

 Steve Nyerere wa katikati pamoja Iddi aka( Mchongo) wa kulia

 Wolper na Odama kulia

 Amani kwenu warembo wa Bongo Movie club

 Rizi One Kikwete mtoto wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania akifungua rasmi party kwa kuwasha mishumaa kwenye keki rasmi iliyoandaliwa kwa siku hiyo
 Mwenyekiti wa Bongo Movie club JB akiweka mambo sawa katika upande wa keki

Keki yanye mfano wa Camera yani ikiashiria ndio kitendea kazi kukibwa sana katika upande wa kazi zetu, Bongo Movie club 2012 nitwaletea matukio mengine yaliyojiri mambo bado sana kulikuwa na burudani za kutosha

Wednesday, March 14, 2012


KONFA BUSINESS LODGE OPENING SOON

 Haya wadau wa town kuna kitu kipya kinakuja kuteka na kukamata jiji katika upande mzima wa sehemu ya  kupumzika kuna sehemu mpya inaitwa KONFA BUSINESS LODGE ni sehemu nzuri sana iko mitaa ya Mbezi Beach kwa maelekezo zaidi nitawafahamisha vizuri na inategemewa kufunguliwa wiki mbili zijazo ni sehemu nzuri sana na bei zao ni poa sana  karibuni sana
 Cheki geti ilo lakisasa kabisa wewe mwenyewe sema mimi sisemi

 RECEPTION

 Maandalizi yanaendeleaaa

 Chumba cha kulala

 Bafu, ni hatari sana jamani duhuuuuu



 Urembo wa kutosha ndani ya BUSINESS LODGE

 Simu ya chumbani ukitaka uduma

 Jamani hapa ni bongo wala si ulaya kila kitu sasa hivi kinapatikana bongo 

 Tv ya kuangalia baada mihangaiko ya mchana kutwa

 Mandhari ni nzuri sana jamani 

 The Greatest nikikagua baadhi ya maeneo

 Mambo yakiendelea

 Kiooo

 KONFA BUSINESS LODGE

 Kwa juu panavyoonekana

 Sehemu ya kupumzika ukiwa na mwenza wako

 KONFA BUSINESS LODGE

 Kiti cha massage

 Chumba cha nguvu

 Koridoni

 Geti

 Urembo wa kutosha maeneo ya BUSINESS LODGE

 WELCOME

 Bar

 Kwa nje panavyoonekana

 Mazingira safi sana

 Sehemu ya kupata moja baridi moja moto

Mzani wa kupima uzito baada ya kutoka msalani

Monday, March 12, 2012


PRINCIPLES NA SOBBING SOUND

 Wadau najua mmenituma kijana wenu mjini kuja kufanya kazi na si maneno mengi nami natekeleza maagizo yenu picha hizi nimepiga kwa ajili ya macover yangu mawili kwa ajili ya cinema zangu mbili kali zinazokuja nadhani itaanza Sobbing Sound imeshilikisha mastaa kibao wakali nitwaletea matukio ya mzigo huo ni hatari tupu
 Picha ya pamoja mimi na Uwoya huu sasa ni mzigo wa Sobbing Sound tumeunguluma pamoja humo ndani pata picha mwenyewe itakuwaje si ni hatari
 Lulu huu sasa ni mzigo wa Principles of Woman

 Pozi kama kawaida ya Lulu

 The Greatest na Uwoya

 Kissssssss

 Mtoto kakua jamani akiwa na Baba yake

 Hatari sana ndani ya Principles of Woman


 The Greatest

 Kijana kazini

 Handsome Boy




Friday, March 16, 2012

MAGIC MATCH ON CHELSEA HISTORY

NapoliChelsea                                                              4 - 1                            Napoli 
Chelsea                                                                                                           Inler (55)
Chelsea club emblemNapoli club emblem


PRE-MATCH BRIEFING: CHELSEA V NAPOLI

WE HAVE HISTORYUntil this round Chelsea and Napoli had never met before in European competition. Chelsea took the lead three weeks ago through Juan Mata, following Paolo Cannavaro's error. However the Neapolitans overturned that scoreline within 20 minutes, then capitalised on David Luiz's mistake to establish a 3-1 first leg lead. Ashley Cole brilliantly cleared off the line late-on to prevent an even worse deficit.
Chelsea have played Napoli on English soil before. We both competed in the four club pre-season Makita Tournament in August 1994 at Highbury. Napoli won 2-0 with goals from Freddy Rincon and Massimo Agostini. Glenn Hoddle's Chelsea side beat Atlético Madrid the following day to finish in third place. Napoli lost the final to Arsenal.
Supporters may remember another Italian side who came here to protect a first-leg lead back in the 1998 Uefa Cup-Winners' Cup. Serie A side Vicenza arrived leading 1-0 in the semi-final tie and stunned home fans by taking the lead just past the half-hour mark at the Bridge, meaning Chelsea required three goals in an hour.
The goal stirred Gianluca Vialli's team into action and Gus Poyet levelled from a goalkeeping blunder almost straight away. In the second-half Gianfranco Zola powered home a header from Vialli's great cross, but the tie remained in the balance.
As Vicenza started to lose their earlier discipline, Chelsea went close from set-plays and Graham Rix on the bench made a match-changing substitute, bringing on Mark Hughes with 20 minutes to go.
Hughes's key contribution came from a huge Ed de Goey kick upfield. The Chelsea striker let the ball bounce once, holding off the challenge from Dicara. Then he nodded backwards past the defender and turned after it before catching the ball perfectly on the volley with an unstoppable left-foot shot that looped past goalkeeper Brivio.
Hughes

Eddie Newton was playing in midfield (Roberto Di Matteo was suspended) and the Blues progressed to the final with that 3-1 scoreline, lifting the trophy by beating Stuttgart.


PMB



Chelsea's biggest home win in the Champions League19/10/2011 - Chelsea 5-0 KRC Genk - group stage
Napoli's biggest away win in the Champions League07/12/2011 - Villarreal 0-2 Napoli - group stage

Monday, March 5, 2012

NOW IS THE TIME OF CHELSEA FC TO MAKE CHANGE

March 5, 2012 -- Updated 1159 GMT (1959 HKT)
<br/>Andre Villas-Boas rose to prominence as the coach of Porto's all-conquering team last season. He guided his team to a league, domestic cup and Europa League treble, drawing comparisons with the club's former coach and current Real Madrid boss Jose Mourinho.
Andre Villas-Boas rose to prominence as the coach of Porto's all-conquering team last season. He guided his team to a league, domestic cup and Europa League treble, drawing comparisons with the club's former coach and current Real Madrid boss Jose Mourinho.
HIDE CAPTION
Pride of Porto

<
1
2
3
4
5
6
7
8
>
>>
STORY HIGHLIGHTS
  • Chelsea sack manager Andre Villas-Boas
  • Villas-Boas was in charge at Stamford Bridge for less than a year
  • Sixth manager to be shown the door by Roman Abramovich
  • Roberto Di Matteo takes over until the end of the season
     Chelsea sacked manager Andre Villas-Boas Sunday, citing poor results which threaten their participation in next season's Champions League.
His final match proved to be Saturday's 1-0 defeat to West Bromwich Albion which left the Blues languishing in fifth place in the English Premier League.
Assistant coach and former Chelsea midfielder Roberto Di Matteo will take temporary charge until the end of the season.
A statement on the west London club's official website confirmed the departure of Villas-Boas, less than a year after taking over from Carlo Ancelotti.
Thomas: Abramovich was right sack AVB
The 34-year-old Portuguese is the sixth manager to be sacked by Chelsea's Russian billionaire owner Roman Abramovich.
Since he took control only Guus Hiddink, who was an interim appointment, left of his own volition.
"Andre Villas-Boas has parted company with Chelsea Football Club today," the statement read.
Results and performances of the team have not been good enough and were showing no signs of improving at a key time in the season
Chelsea FC statement
"The board would like to record our gratitude for his work and express our disappointment that the relationship has ended so early.
"Unfortunately the results and performances of the team have not been good enough and were showing no signs of improving at a key time in the season.
"The club is still competing in the latter stages of the Champions League and the FA Cup, as well as challenging for a top-four spot in the Premier League, and we aim to remain as competitive as possible on all fronts.
"With that in mind we felt our only option was to make a change at this time.
"With immediate effect Roberto Di Matteo has been appointed first team coach on an interim basis until the end of the season."
The decision to install Di Matteo ends speculation that former Liverpool manager Rafael Benitez was to be given the job on a temporary basis.
Di Matteo faces a testing few weeks, with Chelsea hoping to overhaul a 3-1 first leg deficit to Napoli in their last 16 Champions League tie, an away trip to Birmingham in an FA Cup replay, while trying to improve their league position.
Villas-Boas came to Chelsea with a big reputation after guiding Porto to the Europa League title and comparisons were made between him and compatriot Jose Mourinho, who enjoyed such success at the club.
But results have been indifferent and his relationship with senior players such as Frank Lampard has come under the spotlight.
March 5, 2012
Posted: 940 GMT
Chelsea are currently fifth in the Premier League, outside of the Champions League qualifying positions (Getty Images).
Chelsea are currently fifth in the Premier League, outside of the Champions League qualifying positions (Getty Images).
The sacking of Andre Villas-Boas proves that Chelsea is still a rich man's plaything but fans of the club should be grateful that owner Roman Abramovich is still paying attention to his footballing toy instead of leaving it, forgotten and unloved, at the bottom of the cupboard.
Forget talk of Abramovich shirking his long term project. He was right to ditch a manager who took the 2010 English Premier League champions, last season's runners-up, a club that's only been out of the top two once in the last nine seasons, and left them struggling to qualify for the UEFA Champions League after eight consecutive years in the competition.
Villas-Boas' oversaw just 19 wins in 40 games, giving him a win percentage of 47.5 per cent - the worst of any Chelsea manager in the Abramovich era.
Those bare statistics make it irrelevant whether or not Villas-Boas was the victim of dressing room militancy, senior players with a more direct line of communication to the owner than the manager himself.
Abramovich may have too many voices in his ear but, on this occasion, the whispering was correct.
The core of Chelsea's squad is ageing but remains strong and Villas-Boas tried to change too much too quickly, according to his predecessor at Stamford Bridge Carlo Ancelotti in a recent interview with CNN.
And before Ancelotti's comments are dismissed as sour grapes, remember the Italian has been a multiple league and European Cup winner as both a player and manager.
Villas-Boas wasn't a professional footballer and came to Chelsea after one hugely successful season with Porto - the club with the best resources in Portugal.
His former employers said the move had come too early in his career and I thought the same thing.
I'll admit I was impressed by his first news conference as Chelsea boss. I watched him last summer charm the entire media pack with his eloquent grasp of English and youthful exuberance.
It was echoes of 2004 when another brash, young Portugese coach breezed into Stamford Bridge but Villas-Boas has suffered by comparison.
Maybe Abramovich now realizes that only the original "Special One" will do. If Jose Mourinho's house hunting in London, just days before Villas-Boas' dismissal, was a coincidence - it's an extraordinary one.
Whoever the new manager is next season they will have money to spend. It's a myth to say Chelsea's owner has stopped investing in the squad.
He's parted with over $280 million in the last two seasons. That's the biggest two year spend on new players since he first bought the club.
Chelsea is still Abramovich's favourite football toy. He just needs to find the right playmate to share it with.