Monday, January 2, 2012

TUNATAKIWA KUWA WA ASILI KATIKA FILAMU ZETU

Tulianza kwa kuiga stori, sasa tunaiga majina ya filamu za Kiingereza, sijui baadaye tutaiga nini?


Tasnia ya filamu Bongo ambayo ipo katika nchi ya Waswahili wanaozungumza Kiswahili fasaha lakini inayoongoza kwa kuwa na majina mengi ya Kiingereza kwenye sinema zake! Bahati mbaya majina haya ya filamu tunayoyatumia tayari yameshatumika kwenye filamu za nchi zingine zilizoendelea zinazozungumza Kiingereza.

Filamu za Bongo nyingi zinaaminika kukopi hadithi na visa vya filamu zingine za nje, lakini hata hili la majina nalo limekuwa ni kitu cha kawaida jambo linalotuletea aibu kubwa miongoni mwa mataifa mengine. Hebu angalia mfano mdogo hapa chini:



OFFSIDE  

What Is It?

Hizi ni baadhi ya filamu ambazo tumeiga majina...
 

NEW 7 WORLD WONDERS

  1. AFRICA
    Table Mountain
    South Africa

    Table Mountain is a South African icon and the only natural site on the planet to have a constellation of stars named after it - Mensa, meaning “the table.” The flat-topped mountain has withstood six million years of erosion and hosts the richest, yet smallest floral kingdom on earth with over 1,470 floral species. Table Mountain boasts numerous rare and endangered species. It is the most recognized site in Cape Town, the gateway to Africa, owing to its unique flat-topped peaks which reach 1,086 m above sea level.

    NORTHERN INDONESIA

    PP Underground River
    Philippines

    The Puerto Princesa Subterranean River National Park is located about 50 km north of the city of Puerto Princesa, Palawan, Philippines. It features a limestone karst mountain landscape with an 8.2 km. navigable underground river. A distinguishing feature of the river is that it winds through a cave before flowing directly into the South China Sea. It includes major formations of stalactites and stalagmites, and several large chambers. The lower portion of the river is subject to tidal influences. The underground river is reputed to be the world's longest. At the mouth of the cave, a clear lagoon is framed by ancient trees growing right to the water's edge. Monkeys, large monitor lizards, and squirrels find their niche on the beach near the cave.
    NORTHERN AUSTRALIA
    Komodo
     
    http://www.kingherryssondawsson.blogspot.com/
    Indonesia’s Komodo National Park includes the three larger islands Komodo, Rinca and Padar, as well as numerous smaller ones, for a total area of 1,817 square kilometers (603 square kilometers of it land). The national park was founded in 1980 to protect the Komodo dragon. Later, it was also dedicated to protecting other species, including marine animals. The islands of the national park are of volcanic origin.
    ASIA
    Halong Bay
    Viet Nam

    Halong Bay is located in Quáng Ninh province, Vietnam. The bay features thousands of limestone karsts and isles in various sizes and shapes. The bay has a 120 kilometre long coastline and is approximately 1,553 square kilometres in size with 1969 islets. Several of the islands are hollow, with enormous caves, other support floating villages of fishermen, who ply the shallow waters for 200 species of fish and 450 different kinds of mollusks. Another specific feature of Halong Bay is the abundance of lakes inside the limestone islands, for example, Dau Be island has six enclosed lakes. All these island lakes occupy drowned dolines within fengcong karst.
    AMERICA
    Iguazu Falls
    Argentina, Brazil

    Iguazu Falls, in Iguazu River, are one of the world's largest waterfalls. They extend over 2,700 m (nearly 2 miles)  in a semi-circular shape.  Of the 275 falls that collectively make up Iguassu Falls, "Devil's Throat" is the tallest at 80 m in height. Iguazu Falls are on the border between the Brazilian state of Paraná and the Argentine province of Misiones, and are surrounded by two National Parks (BR/ARG). Both are subtropical rainforests that are host to hundreds of rare and endangered species of flora and fauna.
    AMERICA
    Amazon
    Bolivia, Brazil, Colombia, Ecuador, French Guiana, Guyana, Peru, Suriname, Venezuela


    http://www.kingherryssondawsson.blogspot.com/

    The Amazon Rainforest, also known as Amazonia, the Amazon jungle or the Amazon Basin, encompasses seven million square kilometers (1.7 billion acres), though the forest itself occupies some 5.5 million square kilometers (1.4 billion acres), located within nine nations. The Amazon represents over half of the planet's remaining rainforests and comprises the largest and most species-rich tract of tropical rainforest in the world. The Amazon River is the largest river in the world by volume, with a total flow greater than the top ten rivers worldwide combined. It accounts for approximately one-fifth of the total world river flow and has the biggest drainage basin on the planet. Not a single bridge crosses the Amazon.
    ASIA
    Jeju Island
    Korea (south)

    Jejudo is a volcanic island, 130 km from the southern coast of Korea. The largest island and smallest province in Korea, the island has a surface area of 1,846 sqkm. A central feature of Jeju is Hallasan, the tallest mountain in South Korea and a dormant volcano, which rises 1,950 m above sea level. 360 satellite volcanoes are around the main volcano.

WEWE N MZIMA NA UNA VIUNGO VYOTE........ MTAZAME HUYU

010 / Posted by 
KING HERRYSSON DAWSSON


Mwanaume wa nchini Marekani maarufu kama 'Half Man' ambaye maisha yake yote amekuwa akiishi akiwa na nusu ya mwili wake tu kuanzia kiunoni ametamba kuwa yeye ndiyo baba wa mtoto wa kike aliyezaliwa na mchumba wake ingawa baadhi ya watu hawaamini kama kweli mtoto ni wake wakidai atakuwa kabambikiwa mtoto.
Kenny Easterday mwanaume wa nchini Marekani mwenye umri wa miaka 35 ambaye ana nusu mwili kuanzia kiunoni, anasubiria majibu ya DNA ili kuwathibitishia watu kuwa yeye ndio baba wa mtoto wa kike aliyezaliwa na mpenzi wake Nicky.

Katika documentary mpya itakayorushwa hewani leo kwenye televisheni ya Marekani, Kenny mkazi wa West Virginia anasema kuwa yeye ndiye baba wa mtoto Desiree aliyezaa na mpenzi wake Nicky,33 miaka saba iliyopita.

"Watu wanataka kujua kama Kenny ana sehemu za siri", alisema Nicky katika documentary hiyo itakayorushwa hewani na televisheni ya The Learning Channel (TLC).

"Tunafanya mapenzi kama watu wengine, Kenny ana sehemu za siri kama mwanaume mwingine", aliongeza Nicky.

Kenny alizaliwa akiwa na ugonjwa unaowapata watu wachache sana duniani unaoitwa sacral agenesis ambao huzuia uti wa mgongo kukua kama kawaida.

Madaktari walilazimika kuikata miguu yake miwili iliyojipinda iliyojichomoza kidogo chini ya kiuno chake na kisha kuuchukua mfupa wa ugoko wake na kuutumia kuurefusha uti wa mgongo wake.

Kenny ambaye kutembea kwake ni kwa kutumia mikono anasema kuwa ndoto yake kubwa ilikuwa ni kupata mtoto.

"Nataka niwe na mtoto atakayelibeba jina langu ambaye ataweza kusimama mbele ya watu na kusema 'HUYU NDIYO BABA YANGU'", alisema Kenny.

MMOMONYOKO WA UDONGO/KWA IMAN ETI VIVUTIO VYA UTALII NA MAKUMBUSHO


MVUA HUHARIBU MAZINGIRA
WAKATI HUO HUO  WATU HUANGALIA
UHARIBIFU HUO WAKIUITA
(VIVUTIO VYA UTALII)
JE? HIVI VIVUTIO VITAKUWAJE MIAKA 1000 IJAYO!!!!?



 


 


 

 

 

 






 

 

 


 

 

 

 

 

HATA WEWE UNAWEZA KUKUTWA NA MAJANGA HATARISHI..... LAKINI HII ILIZIDI KAWAIDA YA MAFURIKO

UKISIKIA WATU TUNAISHI KATIKA MAZINGIRA HATARISHI HUWA HUAMINI SASA JIONEE MWENYEWE KILICHO TOKEA HAPAAAAA!!!

Hapa nchkavu pamegeuzwa kuwa bahari. Wahanga wakijaribu kujiokoa
Wingi wa maji uliyafanya makazi kugeuzwa kuwa majosho
Miundo mbinu nayo haikuweza kuhimili hali hii mbaya na yahatari
Ni uharibifu uharibifu uharibifu.....................
makazi hayakaliki tena
Baadhi ya wana usalama wakijaribu kutoa msaada
JESHI likitumia boti kuokoa waathirika